Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Zamaradi Mketema Anena Mazito Kuhusu Muigizaji Riyama Ally


Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, muuandaaji wa filamu na matantazaji wa kipindi cha Take One  cha maswala ya filamu , Zamaradi Mtetema  amemwagia sifa muigizaji wa kike, Riyama Ally kuwa ni moja ya waigizaji wa kike wenye uwezo na nguvu sokoni.


“Anafahamika zaidi kwa uigizaji wake… MUIGIZAJI wa kike mwenye uwezo wa kusimama kwenye Cover PEKE YAKE bila nguvu ya muigizaji wa kiume na bado filamu IKAUZA… sio kitu rahisi!!! Anafahamika kwa jina la Riyama Ally”,  Zamaradi aliandika hayo mara baada ya kuweka picha hiyo hapo juu ya Riyama.

Riyama naye kupitia ukurasa wake alimshuruku Zamaradi kwa maneno haya;  “Asante sana my dear umekua mstari wa mbele kuni support ktk kazi yangu tangu mwanzo na mpaka sasa bado hujanikatia tamaa ukiamni kabisa ipo siku unacho kiona kwangu na waTanzania watakiona kwa vitendo asante”, liyama alieza hayo kwenye ukurasawake instagram.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Raha Taste | Distributed By Blogspot Templates
Back To Top