Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Ushindi wa Mabula kwenye kesi ya kupinga matokeo leo Mahakamani Mwanza


Leo April 8, 2016, Mahakama kuu kanda ya Mwanza imetangaza maamuzi ya kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge iliyofunguliwa na Ezekiel Wenje tangu 25.11.2015, aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana kutaka Mahakama kupitia upya mchakato wa kujumlisha Matokeo ya Uchaguzi Mkuu October 2015 kati yake na Mbunge wa sasa Stanslaus Mabula, Shauri hilo lililokuwa linasikilizwa na Jaji Kakusuro Sambo kwenye Mahakama Kuu kanda ya Mwanza.
Image00001
Mahakamani kabla ya kesi kusikilizwa
Image00002
Mawakili kazini, kabla ya kuanza kusikiliza kesi.
Maamuzi yaliyotolewa na Mahakama ni kwamba wajibu maombi hawana kesi ya kujibu kwa kuwa mleta Shauri hana ushahidi wa kuithibitishia Mahakama kwamba matokeo yaliyotangwazwa sio halali,Angalia picha za tukio zima.
Image00004
Katibu wa CCM Mwanza Miraji Mtaturu na Mbunge Stanslaus Mabula, kwenye shangwe
Image00005
Image00006
Image00007
Image00009
Wanachama wa CCM kwenye shangwe na Mbunge wao.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Raha Taste | Distributed By Blogspot Templates
Back To Top