Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Msanii Ndandaa Kosovo Afariki Dunia....


Baada ya kuugua kwa siku chache, mwanamuziki nguli wa dansi Ndandaa Kosovo amefariki dunia leo asubuhi. Kwa mujibu wa mtu wa karibu na Ndandaa, Kardinal Gento ambaye naye ni mwanamuzi wa dansi, amiethibitishia Saluti5 kuwa Ndandaa amefariki dunia. Ndandaa amefariki katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa tangu juzi kutokana na matatizo ya tumbo. TAARIFA ZAIDI ZITAFUATA.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright Raha Taste | Distributed By Blogspot Templates
Back To Top